Wednesday, February 17, 2021

ZIJUE FAIDA ZA LIMAO

 HILO NDO LIMAOMuhimu ni kuliandaa vizuri na kufata maelekezoLeo ningependa kuwapa kitu tofauti kidogoKila mtu analijua limao na faida zake zipo nyingi  tu, ikiwemo kutumika kutengenezea dawa za tiba mbalimbalimfano tiba ya ngozi,tiba ya kifua na nyingine nying nyingnezo.lakini leo nakuonesha  faida tatu tu kutoka kwenye limaoLakufahamu kwanza limao ni tunda lenye umaji maji wa acid, yaani ni tunda lenye citric acidna uwingi wa...

MJUE MWANAMKE ALIYEKUWA NA NYWELE ZENYE VICHWA VYA NYOKA

MEDUSA Mwanamke wa kutishaa,Mwanamke mwenye kichwa chenye Vichwa vya nyoka katika kila unywele ulio kichwani mwakeLakin unaweza kuamini  mwanamke huyu alikuwa ni mzurii kiasi cha kumvutia kila mwanamme amtazamae ?Huyo ni medusa ,ungana nami kwenye stori hii..Habari yake inaanzia miaka elfu na elfu iliyopita katika hadithi za kale za kigiriki Medusa akifahamika kwa jina lingine kama gorgons,mwanamke mrembo mwenye nywere za dhahabu Wakiwa...