Friday, March 5, 2021

ONA JINSI KUNGURU WANAVYOOMBOLEZA MISIBA YAO

KUNGURU NA MAISHA YAO



Unaweza sema ni wasumbufu,Vidokozi,kukuangushia kinyesi kisha wakawa kama wanafurahia tukio kwao ni jambo
la kawaida saaana,na hawa ndege aisee ni wachukuzi wa chochote kitakachokuwa mbele yao.
Lakin hawa jamaa bana huenda ndo ndege wenye Akili nyingi kuliko wengine,Na hawafanyi kitu bila kujihakikishia 
kama ni hatari au laaah,Ndio huenda ni kweli niyasemayooo,Embu jaribu Siku mfukuze kwa kutishia kama unamrushia jiwe
Akishagundua tu kwamba hata jiwe lenyewe huna,Basi hawez kukimbia kaamwe atakaa hapo hapoo,ila Ukishika kweli jiwe basi Atakimbia



Related Posts:

  • MJUE MWANAMKE ALIYEKUWA NA NYWELE ZENYE VICHWA VYA NYOKAMEDUSA Mwanamke wa kutishaa,Mwanamke mwenye kichwa chenye Vichwa vya nyoka katika kila unywele ulio kichwani mwakeLakin unaweza kuamini  mwanamke huyu alikuwa ni mzurii kiasi cha kumvutia kila mwanamme amtazamae ?Hu… Read More
  • CHANZO CHA MOTO NYUMBA YA ZITO KABWE Siku moja baada ya tukio la kuungua kwa nyumba ya mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe iliyopo katika eneo la Kibingo kata ya Mwandiga mkoani humo, Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusiana na chanzo cha moto huo pamoja… Read More
  • MAKONDA ATANGAZA NEEMA YA VIWANJA/HOTUBARC MAKONDA ASHUSHA NEEMA KWA WATUMISHI WA UMMA DAR ES SALAAM HOTUBA YA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM KWA WATUMISHI WAKE NA WANANCHI WA MKOA WA DAR ES SALAAM. Watumishi wa Manispaa zote, idara za AFYA (wauguzi, madaktari, m… Read More
  • IJUE SARATANI YA SHINGO YA KIZAZIUnapozungumzia Binaadam na viumbe wengine ambao huanza maisha kwa kuzaliwa bila shaka kabisa mwanamke ndio kiungo muhimu katika kufanikisha Jambo zima,Kutokana na hilo wanawake ni moja ya makundi muhimu katika jamii yetu. Mwa… Read More
  • SIKU KUU ZA TANZANIA 2019 KALENDA YA SIKU KUU 2019 TANZANIA DateDayHoliday 1 JanTueNew Year's Day 12 JanSatZanzibar Revolutionary Day 7 AprSunKarume Day 19 AprFriGood Friday 22 AprMonEaster Monday 26 AprFriUnion Day 1 MayWedLabour Day 4 JunTueEi… Read More

0 comments:

Post a Comment