Friday, March 5, 2021

ONA JINSI KUNGURU WANAVYOOMBOLEZA MISIBA YAO

KUNGURU NA MAISHA YAO



Unaweza sema ni wasumbufu,Vidokozi,kukuangushia kinyesi kisha wakawa kama wanafurahia tukio kwao ni jambo
la kawaida saaana,na hawa ndege aisee ni wachukuzi wa chochote kitakachokuwa mbele yao.
Lakin hawa jamaa bana huenda ndo ndege wenye Akili nyingi kuliko wengine,Na hawafanyi kitu bila kujihakikishia 
kama ni hatari au laaah,Ndio huenda ni kweli niyasemayooo,Embu jaribu Siku mfukuze kwa kutishia kama unamrushia jiwe
Akishagundua tu kwamba hata jiwe lenyewe huna,Basi hawez kukimbia kaamwe atakaa hapo hapoo,ila Ukishika kweli jiwe basi Atakimbia



Related Posts:

  • ZIJUE FAIDA ZA LIMAO HILO NDO LIMAOMuhimu ni kuliandaa vizuri na kufata maelekezoLeo ningependa kuwapa kitu tofauti kidogoKila mtu analijua limao na faida zake zipo nyingi  tu, ikiwemo kutumika kutengenezea dawa za tiba mbalimbalimfano… Read More
  • MADHARA YA KULA CHUMVI NYINGI:JINSI YA KUYAEPUKA MADHARA YAKEChumvi ni kiungo muhimu katika maisha ya kila siku ya binadamu, ikiwa na matumizi mbalimbali katika upishi na uhifadhi wa chakula. Hata hivyo, matumizi ya chumvi kupita kiasi yamekuwa chanzo kikuu cha matatizo ya kiafya yanay… Read More
  • MAUMIVU YA MGONGO NA TIBA YAKE   SABABU KUU ZA MAUMIVU YA MGONGOKuinama vibaya au kunyanyua vitu vizitoKukaa muda mrefu bila kusogea (hasa ofisini)Kulala katika nafasi mbayaKukosa mazoeziMishipa au misuli kuvutikaUzito mkubwa wa mwili💡 JIN… Read More
  • ONA JINSI KUNGURU WANAVYOOMBOLEZA MISIBA YAOKUNGURU NA MAISHA YAOUnaweza sema ni wasumbufu,Vidokozi,kukuangushia kinyesi kisha wakawa kama wanafurahia tukio kwao ni jambola kawaida saaana,na hawa ndege aisee ni wachukuzi wa chochote kitakachokuwa mbele yao.Lakin hawa j… Read More
  • KUJIKINGA NA MARADHI YA MLIPUKO : MAGONJWA YA MFUMO WA HEWA Maradhi ya mlipuko yanayoshambulia mfumo wa hewa, kama vile mafua makali, homa ya mapafu, kikohozi kikali, na COVID-19, yamekuwa tishio kubwa kwa afya ya jamii duniani kote. Magonjwa haya huenea kwa kasi kupitia hewa, m… Read More

0 comments:

Post a Comment