Friday, March 5, 2021

ONA JINSI KUNGURU WANAVYOOMBOLEZA MISIBA YAO

KUNGURU NA MAISHA YAOUnaweza sema ni wasumbufu,Vidokozi,kukuangushia kinyesi kisha wakawa kama wanafurahia tukio kwao ni jambola kawaida saaana,na hawa ndege aisee ni wachukuzi wa chochote kitakachokuwa mbele yao.Lakin hawa jamaa bana huenda ndo ndege wenye Akili nyingi kuliko wengine,Na hawafanyi kitu bila kujihakikishia kama ni hatari au laaah,Ndio huenda ni kweli niyasemayooo,Embu jaribu Siku mfukuze kwa kutishia kama unamrushia jiweAkishagundua...

Wednesday, February 17, 2021

ZIJUE FAIDA ZA LIMAO

 HILO NDO LIMAOMuhimu ni kuliandaa vizuri na kufata maelekezoLeo ningependa kuwapa kitu tofauti kidogoKila mtu analijua limao na faida zake zipo nyingi  tu, ikiwemo kutumika kutengenezea dawa za tiba mbalimbalimfano tiba ya ngozi,tiba ya kifua na nyingine nying nyingnezo.lakini leo nakuonesha  faida tatu tu kutoka kwenye limaoLakufahamu kwanza limao ni tunda lenye umaji maji wa acid, yaani ni tunda lenye citric acidna uwingi wa...

MJUE MWANAMKE ALIYEKUWA NA NYWELE ZENYE VICHWA VYA NYOKA

MEDUSA Mwanamke wa kutishaa,Mwanamke mwenye kichwa chenye Vichwa vya nyoka katika kila unywele ulio kichwani mwakeLakin unaweza kuamini  mwanamke huyu alikuwa ni mzurii kiasi cha kumvutia kila mwanamme amtazamae ?Huyo ni medusa ,ungana nami kwenye stori hii..Habari yake inaanzia miaka elfu na elfu iliyopita katika hadithi za kale za kigiriki Medusa akifahamika kwa jina lingine kama gorgons,mwanamke mrembo mwenye nywere za dhahabu Wakiwa...

Thursday, March 7, 2019

SIKU KUU ZA TANZANIA 2019

KALENDA YA SIKU KUU 2019 TANZANIA DateDayHoliday 1 JanTueNew Year's Day 12 JanSatZanzibar Revolutionary Day 7 AprSunKarume Day 19 AprFriGood Friday 22 AprMonEaster Monday 26 AprFriUnion Day 1 MayWedLabour Day 4 JunTueEid al-Fitr 5 JunWedEid al-Fitr Holiday 7 JulSunSaba Saba 8 AugThuNane Nane 11 AugSunEid al-Hajj 14 OctMonNyerere Day 9 NovSatProphet Muhammad's Birthday 9 DecMonRepublic Day 25 DecWedChristmas Day 26 DecThuBoxing Day...

Tuesday, September 19, 2017

IJUE SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Unapozungumzia Binaadam na viumbe wengine ambao huanza maisha kwa kuzaliwa bila shaka kabisa mwanamke ndio kiungo muhimu katika kufanikisha Jambo zima,Kutokana na hilo wanawake ni moja ya makundi muhimu katika jamii yetu. Mwanamke ni mama, na ndiye kiumbe pekee ambaye hufanya kazi ya kuleta uhai duniani. Lakini mwanamke huyu hivi sasa yu mashakani, kwani ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi umeshika kasi nchini, hivyo hutesa na hatimaye kuua...

Sunday, September 17, 2017

MAKONDA ATANGAZA NEEMA YA VIWANJA/HOTUBA

RC MAKONDA ASHUSHA NEEMA KWA WATUMISHI WA UMMA DAR ES SALAAM HOTUBA YA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM KWA WATUMISHI WAKE NA WANANCHI WA MKOA WA DAR ES SALAAM. Watumishi wa Manispaa zote, idara za AFYA (wauguzi, madaktari, maafisa afya), ELIMU  (walimu Shule za Msingi, na sekondari, waratibu wa elimu kuanzia kata, wilaya na Mkoa,  Askari wa Vikosi vyote Jeshi la Polisi(kanda maalum, mikoa ya Kipolisi temeke, kinondoni, ilala, Ubungo, kigamboni,...

CHANZO CHA MOTO NYUMBA YA ZITO KABWE

Siku moja baada ya tukio la kuungua kwa nyumba ya mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe iliyopo katika eneo la Kibingo kata ya Mwandiga mkoani humo, Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusiana na chanzo cha moto huo pamoja na mali zilizoteketea. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Ferdinand Mtui amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo cha moto huo ni betri za umeme wa jua zilizokuwa ndani kuzidiwa nguvu na kisha kulipuka. Aidha, Kamanda...