Thursday, July 3, 2025

MADHARA YA KULA CHUMVI NYINGI:JINSI YA KUYAEPUKA MADHARA YAKE

Chumvi ni kiungo muhimu katika maisha ya kila siku ya binadamu, ikiwa na matumizi mbalimbali katika upishi na uhifadhi wa chakula. Hata hivyo, matumizi ya chumvi kupita kiasi yamekuwa chanzo kikuu cha matatizo ya kiafya yanayohusiana na moyo, mishipa ya damu, figo na mifupa. Kutokana na ongezeko la matumizi ya vyakula vya viwandani na tabia ya kuongeza chumvi mezani, ni muhimu kuelimisha jamii kuhusu madhara ya chumvi nyingi na namna bora ya kujikinga....

Wednesday, July 2, 2025

KUJIKINGA NA MARADHI YA MLIPUKO : MAGONJWA YA MFUMO WA HEWA

 Maradhi ya mlipuko yanayoshambulia mfumo wa hewa, kama vile mafua makali, homa ya mapafu, kikohozi kikali, na COVID-19, yamekuwa tishio kubwa kwa afya ya jamii duniani kote. Magonjwa haya huenea kwa kasi kupitia hewa, mgusano wa karibu au mazingira machafu, na mara nyingi huathiri watu wa rika zote, hasa watoto, wazee, na wale wenye kinga dhaifu. Kutokana na kasi ya uenezaji na madhara yake, elimu juu ya namna ya kujikinga ni muhimu zaidi kuliko...

MAUMIVU YA MGONGO NA TIBA YAKE

   SABABU KUU ZA MAUMIVU YA MGONGOKuinama vibaya au kunyanyua vitu vizitoKukaa muda mrefu bila kusogea (hasa ofisini)Kulala katika nafasi mbayaKukosa mazoeziMishipa au misuli kuvutikaUzito mkubwa wa mwili💡 JINSI YA KUJITIBU UKIWA NYUMBANI 1. 🧘 Mazoezi ya Kunyoosha Mgongo (Stretching)a. Child’s Pose (Mtindo wa Mtoto)Piga magoti chini.Inama mbele, vuta mikono mbele kama unajisujudia.Kaa hivyo sekunde 30–60. Rudia mara 3.b. Cat-Cow...

Friday, March 5, 2021

ONA JINSI KUNGURU WANAVYOOMBOLEZA MISIBA YAO

KUNGURU NA MAISHA YAOUnaweza sema ni wasumbufu,Vidokozi,kukuangushia kinyesi kisha wakawa kama wanafurahia tukio kwao ni jambola kawaida saaana,na hawa ndege aisee ni wachukuzi wa chochote kitakachokuwa mbele yao.Lakin hawa jamaa bana huenda ndo ndege wenye Akili nyingi kuliko wengine,Na hawafanyi kitu bila kujihakikishia kama ni hatari au laaah,Ndio huenda ni kweli niyasemayooo,Embu jaribu Siku mfukuze kwa kutishia kama unamrushia jiweAkishagundua...

Wednesday, February 17, 2021

ZIJUE FAIDA ZA LIMAO

 HILO NDO LIMAOMuhimu ni kuliandaa vizuri na kufata maelekezoLeo ningependa kuwapa kitu tofauti kidogoKila mtu analijua limao na faida zake zipo nyingi  tu, ikiwemo kutumika kutengenezea dawa za tiba mbalimbalimfano tiba ya ngozi,tiba ya kifua na nyingine nying nyingnezo.lakini leo nakuonesha  faida tatu tu kutoka kwenye limaoLakufahamu kwanza limao ni tunda lenye umaji maji wa acid, yaani ni tunda lenye citric acidna uwingi wa...

MJUE MWANAMKE ALIYEKUWA NA NYWELE ZENYE VICHWA VYA NYOKA

MEDUSA Mwanamke wa kutishaa,Mwanamke mwenye kichwa chenye Vichwa vya nyoka katika kila unywele ulio kichwani mwakeLakin unaweza kuamini  mwanamke huyu alikuwa ni mzurii kiasi cha kumvutia kila mwanamme amtazamae ?Huyo ni medusa ,ungana nami kwenye stori hii..Habari yake inaanzia miaka elfu na elfu iliyopita katika hadithi za kale za kigiriki Medusa akifahamika kwa jina lingine kama gorgons,mwanamke mrembo mwenye nywere za dhahabu Wakiwa...

Thursday, March 7, 2019

SIKU KUU ZA TANZANIA 2019

KALENDA YA SIKU KUU 2019 TANZANIA DateDayHoliday 1 JanTueNew Year's Day 12 JanSatZanzibar Revolutionary Day 7 AprSunKarume Day 19 AprFriGood Friday 22 AprMonEaster Monday 26 AprFriUnion Day 1 MayWedLabour Day 4 JunTueEid al-Fitr 5 JunWedEid al-Fitr Holiday 7 JulSunSaba Saba 8 AugThuNane Nane 11 AugSunEid al-Hajj 14 OctMonNyerere Day 9 NovSatProphet Muhammad's Birthday 9 DecMonRepublic Day 25 DecWedChristmas Day 26 DecThuBoxing Day...